Friday, September 10, 2021

Matokeo ya darasa la saba 2021 Tazama hapa

 

Matokeo ya darasa la saba 2021 Tazama hapa

PSLE-2021 examination results - NECTA 2021  Read here
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA. PSLE-2021 EXAMINATION RESULTS. Mikoa yote follow here

Standard Seven Examination Results 2021, Necta PSLE Results 2021. NECTA Matokeo darasa la saba 2021, Matokeo ya Mtihani darasa la saba 2021/2022

NECTA: Matokeo Darasa la Saba 2021/2022 Kimkoa Follow here

matokeo ya darasa la saba 2021
matokeo ya darasa la saba 2022
matokeo ya darasa la saba 2020
matokeo ya darasa la saba 2021 morogoro
matokeo ya darasa la saba 2021 dodoma
matokeo ya darasa la saba 2021 mtwara
matokeo ya darasa la saba 2021 dar es salaam
matokeo ya darasa la saba 2022 dar es salaam
matokeo ya darasa la saba 2022 mkoa wa tabora
matokeo ya darasa la saba 2022 dodoma
matokeo ya darasa la saba 2022 mtwara
matokeo ya darasa la saba 2022 mkoa wa mwanza

ARUSHA

DAR ES SALAAM

DODOMA

IRINGA

KAGERA

KIGOMA

KILIMANJARO

LINDI

MARA

MBEYA

MOROGORO

MTWARA

MWANZA

PWANI

RUKWA

RUVUMA

SHINYANGA

SINGIDA

TABORA

TANGA

MANYARA

GEITA

KATAVI

NJOMBE

SIMIYU

SONGWE

 

Provide better education to children because education is the key of life

let me tell you while you wait for matokeo ya darasa la saba 2021 PLSE exams 2021 hakikisha mtoto wako anajiandaa vyema kwa form one selection 2022 Dont ignore kumpeleka mtoto aliyefaulu mtihani wa darasa la saba 2021 please

And don't do this usimpeleke mtoto kufanya kazi za house girl au house boy this is bad hata kama hajafaulu mtihani wa darasa la saba 2021 please let him or her join form one 2022 or  kuna private school out there kuna vyuo vya ufundi let our children get knowledge itakayowasaidia kuishi kwa kujitegemea. Join whatsapp group links ujulishwe matokeo ya darasa la saba kwenye group 

 

WHATSAPP GROUPS INVITE LINKS JOIN BELOW


Arusha whatsapp group link
https://chat.whatsapp.com/HRnvddra59LAW2erALtaPz


Tanga whatsapp group link

https://chat.whatsapp.com/FX8vhcMlKy4CIkLNKQgoBT


Songwe whatsapp group links

https://chat.whatsapp.com/Fo0x5FwVb1mFJuKXZ1huNu


Bukoba whatsapp group links

https://chat.whatsapp.com/JHMSBbEnwQwKdj08oVRIy2


Dar whatsapp group links

https://chat.whatsapp.com/BzWZya9VGw86IKiuK2xJcs


Mwanza whatsapp group link

https://chat.whatsapp.com/IzaD1IWcTiiAzPvloRFQeU


Iringa whatsapp group links

https://chat.whatsapp.com/GjIxhRVKCmFHgJxqWVkHP9


Shinyanga whatsapp group link

https://chat.whatsapp.com/CJytnLpOKAg9kt36z7MFtK


Kigoma whatsapp group link

https://chat.whatsapp.com/LVzb01baxoEKZLaZrTBiYQ


Mtwara whatsapp group link

https://chat.whatsapp.com/B9gJWdABEcb6uWuJxEZcU5


Tabora whatsapp group link

https://chat.whatsapp.com/CZ9aXc4jXgEIbtYGcktIXM


Mbeya whatsapp group link

https://chat.whatsapp.com/F4s5g63HgYB9bljWU66WKL


Wa singida whatsapp group link

https://chat.whatsapp.com/GOWkopu2lAGKpV1dusmVWy


Wa Morogoro whatsapp group link
https://chat.whatsapp.com/I5siaWl6KLdFSeCVJGCZKA


Wa Zanzibar tukutane hapa

https://chat.whatsapp.com/CsN8sZmbcQyB3olukhTuwi


Wa pwani whatsapp group link

https://chat.whatsapp.com/KyrVr9yeFeOHijr9FfEpjq


Wa Kilimanjaro whatsapp group link
https://chat.whatsapp.com/FguYsjl2tIR2PQK7pzlC1a


Wa Dodoma whatsapp group link
https://chat.whatsapp.com/IWF2jp9uwbxIBwBXCtN8dC


Wa babati whatsapp group link
https://chat.whatsapp.com/IJfxCW7Nv773ARustj1voc


Wa manyara whatsapp group link
https://chat.whatsapp.com/JqisHfNwTb37dE6DAXFuCV

 

Wa rukwa whatsapp group link

https://chat.whatsapp.com/FsVyj8rbRW7Ker1HY9jPKi

 

Wa kagera WhatsApp group link
https://chat.whatsapp.com/JdNPAKirKG1HZXAW6l4J9H

 

Wa njombe whatsapp group link
https://chat.whatsapp.com/HJ0miHXpGGGBipkNIhWb91

 

Wa Ruvuma whatsapp group link

https://chat.whatsapp.com/CMVT0IAoCgNEOOkwILm4Ae

 

Telegram groups to join Magroup ya telegram

200,000 members telegram group https://t.me/joinchat/QiL5unNFdVCZRXVt

Bitcoin business https://t.me/joinchat/QlLJEvz8nRBF1t6O

Free Online promotion 200K reach 200K users no ban telegram group https://t.me/joinchat/gQH0G0F22O82MDNk

 

Get new friends online https://t.me/joinchat/uw5ryX1_vhM0ZGE0

NECTA PSLE Results 2021/22 – Matokeo ya Darasa la saba

Matokeo ya Darasa la Saba 2021/2022 kimkoa- NECTA STD seven Results 2021/2022 by Region. NECTA PSLE Results 2021/22 all Regions in Tanzania

 

Tuesday, September 10, 2019

Matokeo ya mtihani ya darasa la saba 2019/20 fuatilia hapa

Matokeo ya mtihani darasa la saba 2019/20 fuatilia hapa

Watoto wetu wamefanya mtihani wa kumaliza darasa la saba 2019 sasa tunasubiri matokeo ya darasa la saba 2019 basi tusubiri necta watatangaza tu na kujua ufaulu wa watoto wetu. Ningependa kushauri mambo machache wazazi na walezi hawa watoto wetu wanastahili kuendelezwa kielimu hata kama hawatafaulu mtihani wa darasa la saba 2019. Kufeli mtihani sio kufeli maisha, kuna shule za ufundi bado mtoto anaweza kuendelezwa hata kama angepa sifuri kwenye mitihani yote. 
Nikupe mfano shule za binafsi ndizo zinazoongoza mitihani ya kidato cha nne taifa lakini ukifanya utafiti utakuta kama seminary watoto waliochukukuliwa kidato cha nne walikuwa wale waliofeli mtihani wa taifa na kukosa shule za serikali lakini ndio wanao ongoza mitihani ya Taifa olevel hapa tunajifunza kumbe kufeli darasa la saba sio kufeli kidato cha nne.

Ushauri mwingine jamani tusiwabague watoto wa kike tuwaendeleze kielimu kama watoto wa kiume, Kwanza nikwambie mzazi au mlezi ukiwa na mtoto wa kike mshukuru Mungu sana kwaku huyo ndiye atakayekutuza ukiwa mzee. madume yakishaanza maisha yanaendeleza na kupendelea upande wa wake zao hivyo na wewe mtoto wa kike akolewa atampeti peti mume wake mpaka apate pesa ya kukutumia hata kama elfu 20 tu. mtoto wa kile ni mali na sio mahali. Kama umeipenda makala hii itume kwa marafiki na ndugu kwenye magroup facebook whatsapp twitter nao wanufaike nayo. bonyeza shere hapo chini au kopi kisha iweke kama ilivyo kwenye mitandao ni ruksa kukopi.

Sasa kipengere hiki hapa chini kinakuhusu ongeza kipato kupitia mitandao soma zaidi kwa makini mpaka mwisho

Ijue App pekee inayo tengeneza ajira kwa vijana mtandaoni

Habari ndugu mtumiaji wa app hii, Leo nakutambusha app pekee ambayo ukiitumia utapata pesa kwa kufanya kazi ndogo ndogo mtandaoni. Ni app ya jamii huru. App hii inakuwezesha kutengeneza hadi laki 5 kwa mwezi kama wewe ni mbunifu.
jamii huru pesa

Siku hizi kuna mitandao mingi duniani kiasi kwamba wamiliki wa mitandao hiyo wanatakiwa kushindana kwa kutoa huduma bora kuliko wengine. Hivyo mtandao wa jamiihuru.com umekuja na huduma kabambe ambayo huwezi kuipata sehemu yoyote duniani hata ukiiipata basi tambua wameiga toka kwa kwa jamii huru  social media.

Jamiihuru.com ina huduma hizi zifuatazo


1. Unalipwa sh elfu moja kwa kila mtu unayemsajiri kwenye mtandao huo. Yaani hakuna kusubiri mpaka zifike sh elfu 50 ili utumie hapana ukimsajiri mtu mmoja sh elfu moja yako inakuwa kwenye simu au mkononi na kuweza kuanza kuitumia.

2. Unalipwa kwa idadi ya likes unazopata kwenye page unayoendesha ndani ya jamiihuru.com mfano page yako ikipata likes 10000 unalipwa laki moja bila kuchelewa.
3. Unalipwa kwa kuandika makala original sehemu ya blog ndani ya jamiihuru.com makala 100 sawa na sh elfu elfu mbili au dola moja.


JIUNGE KWENYE GROUP LA WHATSAPP UIFUNZE ZAIDI KUHUSIANA NA KAZI HII BONYEZA LINK HII https://chat.whatsapp.com/KzGJZtHlhI9BipqXWyK1ni

TAZAMA HAPA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019  https://results.necta.go.tz/results/2019/psle/psle.htm

Maelekezo mengine utayapata kwenye App unapoifungua tu bada ya kuidownload karibu ulimwengu wa teknolojia utajirike online.

Nimeona niandike ushauri huu baada ya kuona unatafuta sana kuhusu 

matokeo darasa la saba 2019/2020

necta matokeo darasa la saba 2019

matokeo darasa la saba 2019/20

matokeo darasa la saba 2019 dar es salaam

matokeo ya darasa la saba 2019/20

matokeo ya darasa la saba 2019/2020

matokeo ya darasa la saba 2019 na shule walizopangiwa

matokeo ya mtihani darasa la saba 2019

Share makala hii na uwapendao bonyeza share button moja wapo hapa chini au kopi kisha paste popote online washirikishe nao wapate mawili matatu toka kwenye makala hii. asante kwa kushare na Mungu akubariki pamoja na watoto wako

Friday, January 25, 2019

Tundu lissu amezaliwa wapi? Tundu lissu profile read here

Tundu lissu amezaliwa wapi? Tundu lissu profile read here

Tanzania is peaceful nation, People of tanzania love peace, Tundu lissu Tanzanian lawyer is among of 54 millions people of Tanzania. people search these keywords: tundu lissu profile,tundu lissu news,tundu lissu ubelgiji,tundu lissu hali yake,tundu lissu shot,tundu lissu news today,tundu lissu belgium,tundu lissu arudi tanzania The aim is to know the news about famous Tundu Lissu Tanzanian lawyer.
Tundu lissu amezaliwa wapi?

Tundu Lissu become popular in the internet. Tundu lissu amezaliwa wapi?He has 82 million searches according to Google search engine. Many searches come from America Australia and Europe, Hope there is something that attracts the world to know about Tundu lissu 

People also search tundu lissu ubelgiji tundu lissu vs magufuli tundu lissu shot tundu lissu youtube hon tundu lissu freeman mbowe


Tundu lissu Tanzanian lawyer is the next from Trump search popularity did you know this? Yes Lissu is the next from trump the american president in search popularity. This is according to google search results 2019. 

Why lissu is post popular these days? This is tough question to answer but you may have collect answer try to comment bellow.

Where Tundu lissu Tanzanian Lawyer was born?

Tundu lissu amezaliwa wapi? According to wikipedia "Tundu Antiphas Mughwai Lissu (born 20 January 1968 in Ikungi district, Singida) is a Tanzanian lawyer, CHADEMA politician and Member of Parliament for Singida East constituency since 2010.[1] He is also the former President of Tanganyika Law Society (TLS),[2] the bar association of Tanzania mainland, and Chief Legal Officer for Tanzanian opposition party CHADEMA.
Lissu
This is Tundu lissu Tanzanian Lawyer
Africans must maintain peace, There is very big  need for africans to maintain peace since they are poor. Politics must not kill africans peace but must maintain peace. Hope the article was interesting share with friends click share below so that many africans read ans learn the importance of maintaining peace the end of Tundu lissu amezaliwa wapi? today's topic.

Thursday, January 24, 2019

Matokeo ya kidato cha nne 2019 yametoka! Get new updates

Matokeo ya kidato cha nne 2019 yametoka! Get new updates

Matokeo ya kidato cha nne 2019 yametoka,  New. Matokeo ya kidato cha nne 2018, New, www.matokeo.necta.go.tz  New, Necta results 2018/2019 New, Matokeo ya f.IV , Matokeo ya f. 4 2018, 


Matokeo ya kidato cha nne 2019 yametoka

New updates Matokeo ya kidato cha nne 2019 yametoka haya hapa. congratulation for your success, Form four 2018 Your dreams may come true.

You are about to start form five 2019 you must study hard, Life without education is like having a car without being able to drive it. You need friends or relatives to drive it for you. Soma sana ujiunge na chuo kikuu miaka ijayo. chuo kikuu kutamu sana, I like university life. Study hard you will enjoy too.

You might like to make money online

You can make good money if unajiunga na mtandao wa www.jamiihuru.com Bonyeza hapa ujiunge dakika mbili tu halafu anza kufundisha chochote kwenye mtandao huo ulipwe, Mfano unaweza kufundisha watu jinsi ya kupika, jinsi ya kufaulu mitihani, jinsi ya kufuga kuku, jinsi ya kupamba au kitu chochote unachokijua. tengeneza pesa sasa join www.jamiihuru.com and make money online while you are celebrating for Matokeo ya kidato cha nne 2019 yametoka Congratulation for your exam results

Sunday, January 20, 2019

Jifunze kutengeneza pesa mitandaoni, make money online

Jifunze kutengeneza pesa mitandaoni Make money online

Jifunze kutengeneza pesa mitandaoni

 Jifunze kutengeneza pesa mitandaoni, make money online, Maisha haya unatakiwa kuwa mbunifu sana. Hali si shwali, siku hizi ukienda sokoni na sh elfu kumi utajikuta umenunua vitu vichache tu na pesa imeisha, Kuna wakati mimi huwa nakuwa na wasiwasi labda pesa yangu huwa inachukuliwa na chuma ulete huko nakoenda kununua bidhaa. Hakika hali ya pesa na matumizi si nzuri.

Kijana hapa ndipo unapotakiwa kutumia akili yako kila siku kubuni vyanzo vya kukuingizia kipato, Vyanzo halali na si vyanzo halamu kama umalaya au kuuza madawa ya kulevya. Kila changamoto ichukulie kama fulsa kwako. Tatizo la mwenzio wewe ligeuze kuwa fulsa ili mradi tu usimwongezee tatizo kwa maksudi ili wewe upate fulsa. Mfano msimba siku zote ni tatizo mwenzio akifiwa bado wewe unaweza kufanya msiba huo kuwa fulsa. Ndiyo msiba unapotokea mtaani kwako wewe unaweza kuchukulia kama fulsa kwa sababu kama ni fundi seremala utauza jeneza, kama wewe unauza sanda siku hiyo utapata pesa, Kama wewe unauza vyakula siku hiyo utauza na bidhaa nyingine au huduma nyingine ambazo lazima kukiwa na msiba zitahitaika. Nadhani sasa umepata concept.

Mitandaoni kuna fulsa nyingi, wenzetu mataifa ya nje walishatajirika sana kwa kutumia mitandao ya kijamii lakini sisi ngozi nyeusi bado sana. Nimefanya utafiti kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii au matumizi ya intaneti kwa jumla na kupata majibu Watu wa ngozi nyeusi hasa maskini ndio wanaongoza kwa kutumia mitandao ya kiamii kwa kupoteza muda. Utaskia vijana wanasema ngoa niingie facebook nipoteze muda kidogo kwasababu nipo bored sana. Sasa ukiingia facebook unatumia pesa, ukiingia instagram na you tube huko ndio hatari unatumia pesa nyingi sana kustream video. Yaani kutazama video za udaku au maisha ya watu waliofanikiwa tayari kama wasanii wa mziki au waigizaji. Siri ipo hapo maskini anatazama video ya diaomond platimum pale you tube maskini anatoa pesa kutazama video wakati Tajiri diamond anaingiza pesa kwa ile video muda maskini anaitazama. Kama ulikuwa hujui ukitazama video you tube unamfanya Yule aliyeitengeneza hiyo video analipwa na Kampuni ya google basi leo nimekujuza.

Ufanye nini ili nawe uanze kulipwa na Kampuni ya google?


Vipo vitu vingi vya kufanya, endelea kusoma makala hii mpaka mwisho ujifunze, Unamiliki simu ya smartphone ya gharama na unajivutia kwa marafiki kuwa una simu kali, Wewe unahisi matumizi ya simu hiyo ndo yameishia hapo kwenye kujisifu kwa marafiki na kupoteza muda kwa kuchat na kukomenti ujinga facebook au instagram. Ukiingia facebook muda huu utaona posts za komedi, utani 90 kati ya mia kumi tu utaweza kuona zinafundisha kitu Fulani au zinatoa taarifa Fulani. Ndugu yangu hiyo simu ni mtaji tosha wa kutengeneza pesa mitandaoni.

Fanya yafuatayo utaingiza pesa na kununua simu kubwa zaidi ya hiyo au kompyuta .

1. Anzisha you tube channel, Kuanzisha you tube channel ni bure ingia www.youtube.com anza kupakia video ambazo unatengeneza. Unaweza dhani kuweka video you tube ni mpaka uwe na studio kama wanazorekodia wasanii wakubwa au uwe na kamera za waandishi wa habari hapana. Simu yako ya smartphone ni studio tosha. Tafuta idea kisha tengeneza video. Unaweza jifunza idea za kurekodi video kwenye milionea Tv channel www.youtube.com/c/milioneatv Hapo kuna watu wengi watuma video zao ili walipwe kwa idadi ya wanaotazama video zao kwenye channel hiyo. Hakikisha una subscribe kwenye channel hiyo ili ujifunze kurekodi video zinazopendwa na watu.

You tube channel inalipaje?


Hili ni swali la kujua maibu yake kabla hujaanza biashara ya kuendesha Tv ya you tube. Ukishafungua channel yako ya you tube na kuanza kupost video watu watakuwa wanaingia kutazama video zako. Kadili wanavyotazama video zako ndivyo unavyoingiza pesa kutokana na matangazo ya kampuni ya Google huwa yanarushwa kwenye video zako kama umeseti matangazo yaoneshwe kwenye video zako. Kuna vigezo na msharti ya matangazo ya google lakini ni rahisi kuyafuata.

Masharti makubwa ya kuzingatia unapo miliki you tube channel ni haya


1. Usipost video za ngono au video yenye kuonesha picha ya uchi

2. Usibonyeze matangazo ya google kwenye channel yako

3. Usipost video ulizodownload kwenye you tube ambazo si zako.

4. Usiweke mziki wa msanii yoyote kama background au wakati unarekodi video yako chumbani zima mziki mwingine usiingie kwenye video yako kama unataka video hiyo ioneshe matangazo ya Google.

Hayo ni masharti makubwa ambayo unatakiwa kuzingatia ukiwana you tube channel

Google watakutumia pesa toka marekani kwa mfumo wa dola kwa western union ambako utaenda tawi la western union sehemu yoyote mtaani kwako ukiwa na kitambulisho chochote kinachotambulika na serikali ya nchi yako na kuchukua pesa bila tatizo lolote ukifikisha dola 100 sawa na laki mbili na zaidi, Pia unaweza kuchagua nia ya malipo kwa akaunti yako ya benki kama unayo.

Unaweza pia kupata pesa nzuri kwa watu binafsi au makampuni ya nchini mwako ambayo yanataka kutangaza biashara au huduma kwenye online Tv yako. Mfano kampuni ya Vodacom inaweza kutangaza huduma zake kwenye channel yako kwakila video unazoandaa unaweka na video ya tangazo la Vodacom ndani yake.

You tube channe pia inakuwezesha kutangaza live kwa kutumia kompyuta yako au simu. Kama una sherehe kama arusi au kipaimara unaweza teua mtu akutangazie live toka mtaani kwako na watu wataona kila kinachoendelea kwenye channel yako.

Point ya muhimu, Hakikisha unachagua jina zuri la kuipa tv yako na liwe rahisi watu kukumbuka. Usipende kuchangua jina linalotaka kufanana na online tv maarufu ukidhani watu watakuwa nakosea na kuja kwako hapo ni kujidanganya san asana utawafanya wale wanaosearch Tv yako kudondokea kwenye Tv ya mtu mwingine ambayo ni maarufu

2. Anzisha blog. Blog ni nini? Nitatengenezaje blog? Je nitalipia gharama za kuiendesha au ni bure? Blog inaingizaje pesa? Haya yote utajifunza hapa hapa kwenye mtandao huu. Kwa sasa tunaenda mapumziko tutarudi kukuletea elimu hii ya ujasirimali kwa kutumia mitandao. Andika sehemu jina la mtandao huu au blog hii ili usisahau kurudi kujifunza tena.

Kwa sasa anza kulifanyia kazi swala la you tube hapo juu. Hakikisha unapata channel ya you tube haraka iwezekanavyo na kama huui chochote jinsi ya kuitengeneza wasiliana na fundi huyu whatsapp 0652428852 au mtumie sms usipige simu kwakua fundi huyo yupo bize na sms tu nakutengeza you tube za watu, blog na app sasa ukipiga simu unamzimia data na kusitisha zoezi la utengenezaji kwamuda. You tube atakuchaji sh elfu 25 anakuwekea na logo ya Tv bure.

Tuonane kipindi kijacho share hapo chini makala hii iwafikie watu wengi ili waachane na mawazo ya kupoteza muda mitandaoni bonyeza alama ya f au tweet hapo chini. Asante kwa kushare umekuwa sehemu ya watu muhimu wanaopenda Taifa letu liwe na watu matajiri. Pamoja tunaweza pambana na umaskini . Tuonane tena kwenye kipindi kijacho tukiendelea na mada ya Jifunze kutengeneza pesa mitandaoni

Tuesday, January 15, 2019

Tarehe ya kuanza mtihani wa darasa la saba 2019 english subject is necessary

Tarehe ya kuanza mtihani wa darasa la saba 2019 English subject is necessary

5 online business ides that you can do in Africa
5 online business ides that you can do in Africa
Searching for tarehe ya kuanza mtihani wa darasa la saba 2019 Hello teachers and guardians  waandae watoto wa darasa la saba wafaulu mtihani wao wa kumaliza elimu ya msingi 2019 kwenye mwezi wa tisa hivi. Fuatilia zaidi ratiba ya mtihani wa darasa la saba 2019 ikitolewa kwenye necta.go.tz website thanks for teaching our children dear teachers 

Poverty is big problem in Africa. There are some households that do not manage to get twice meals per day they only eat once. But you can see one or more members of the household own Smartphone. The Smartphone can help this house hold to start online business and make good money. The only thing they lack is mindset change. They think Smartphone is for chatting with friends only but Smartphone has good chance of making money online.


Image result for online business photo
5 online business ides that you can do in Africa
5 online business ideas that you can do in Africa

Five ideas that you can start making money online in Africa

1. Start teaching people what you know in jamaa.com, this is good idea that you can make good money. You can teach people what you know like how to make local wine, how to keep local chickens. Jamaa.com will pay you for your contribution in teaching the world.

2. The second idea create YouTube channel and start uploading videos of your interest. You can use your Smartphone to create and manage your YouTube channel. You don’t need to have laptop and complex video editing software everything is in play store or just Google free video editing app. You tube will pay you by placing sponsored ads from Google ads or individuals and local companies from your area.
5 online business ides that you can do in Africa

3. Create a blog; Blog is webpage that you can publish your stuffs, another method of teaching the world what you know. In Tanzania it is difficult to own a blog since you need to pay not less that $900 to own a free BlogSpot blog or world press blog. Very sorry for Tanzanians for this bad situation. You can’t make money with blog if you pay that cost as tax or registration fee unless you become popular in the world and your blog gets 100k traffic per day. Now what Tanzanians can do is to join www.jamiihuru.com and post their stuffs here, forget about owning blogs that are restricted by your country. If you are out of Tanzania then you can create blog. Blog will earn you money from advertisements

5 online business ides that you can do in Africa
5 online business ides that you can do in Africa
4. Make money selling eBooks, You have more than 1k followers in integral, 1k followers in twitter and more than 3k friends in face book but you are poor this sounds bad. Social media followers are one of the opportunities to make money online. Once you create big social network start creating eBooks and sell them to your followers through emails. They send you money though mobile phone or PayPal you give them the download link of your eBooks. The important here is that create eBooks that you think they solve people’s problems. Use attractive or interesting title on your eBook like “How to become millionaire in Africa” or “learn 10 tricks of making money online” You are advised to create eBooks that contain topic of your knowledge or interest do not just write because you need to write.

5. Sell social media accounts, This is new business in Africa, there are companies or individual who need to market their products online. They buy social media accounts of individuals that have many followers or groups, pages that have many members. Create page on Facebook get as many likes as you can then put advertisement that you sell that page. All interested buyers will contact you and bargain.


There is no reason for Africa to be poor, use all opportunities that you see and hear to fight against poverty in Africa.

Monday, January 14, 2019

Ratiba ya mtihani darasa la saba 2019, Let us prepare our pupils

Ratiba ya mtihani darasa la saba 2019, Let us prepare our pupils

Ratiba ya mtihani darasa la saba 2019

It is another year searching for Ratiba ya mtihani darasa la saba 2019, We need to prepaire our kids well. Mwalimu wafundishe watoto kwa upendo wa hali ya juu watakuja kukukumbuka siku za utu uzima wao. Tunatambua sana kuwa walimu mna kazi nzito vumilieni, Bila mwalimu hakuna daktari. Bila mwalimu hakuna mwandishi wa blog kama hii. Najivunia kuandika blog kwakua mwalimu alinitoa makamasi nikiwa darasa la awali au chekechea, Je umeshawahi kumkumbuka mwalimu aliyekufundisha chekechea au unamkumbuka profesa wa chuo tu. Bila mwalimu wa darasa la kwanza hamuna profesa. Kumbe mwalimu wa chekechea alitakiwa alipwe mshahara mkubwa kuliko profesa wa chuo kikuu, haya ni mawazo yangu, Unaweza changia mawazo yako kwenye komenti hapo chini karibu let us debate, education is very important to out children.

You need to know the Ratiba ya mtihani darasa la saba 2019, yes it will be released by the necta website kkkkkk You might need to know ratiba ya mtihani wa darasa la saba 2018 how it was read here https://www.necta.go.tz/files/DARASA%20LA%207%202018.pdf
Also matokeo ya darasa la saba 2018

Waiting for matokeo ya mtihani wa darasa la saba 2019, mitihani ya darasa la saba pdf , ratiba ya mtihani wa taifa darasa la saba 2019,matokeo darasa la saba 2019,necta darasa la saba 2019,matokeo ya darasa la saba 2019 Tank you for reading my post Ratiba ya mtihani darasa la saba 2019